YouVersion Logo
Search Icon

Mithali 21:1-4

Mithali 21:1-4 SRUV

Moyo wa mfalme huwa katika mkono wa BWANA; Kama mifereji ya maji huugeuza popote apendapo. Kila njia ya mtu ni sawa machoni pake mwenyewe; Bali BWANA huipima mioyo. Kutenda haki na hukumu Humpendeza BWANA kuliko kutoa sadaka. Mwenye kiburi na moyo wa majivuno, Taa yake ni dhambi.

Free Reading Plans and Devotionals related to Mithali 21:1-4