Bible App logo
Search Icon

1 Wathesalonike 5:23-24

1 Wathesalonike 5:23-24 SRUVDC

Mungu wa amani mwenyewe awatakase kabisa; nanyi nafsi zenu na roho zenu na miili yenu mhifadhiwe muwe kamili, bila lawama, wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo. Yeye ni mwaminifu ambaye awaita, naye atafanya.

Free Reading Plans and Devotionals related to 1 Wathesalonike 5:23-24