YouVersion Logo
Search Icon

Mk 13:1, 2, 3, 4, 5, 6, 7, 8, 9, 10, 11, 12, 14, 15, 16, 17, 18, 19, 20, 21, 22, 23, 24, 25, 26, 27, 28, 29, 30, 31

Mk 13:5 SUV

Yesu akaanza kuwaambia, Jihadharini, mtu asiwadanganye.

Mk 13:6 SUV

Wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ndiye, nao watadanganya wengi.

Mk 13:10 SUV

Na sharti Injili ihubiriwe kwanza katika mataifa yote.

Mk 13:15 SUV

na mtu aliye juu ya dari asishuke, wala asiingie kuchukua kitu nyumbani mwake

Mk 13:16 SUV

naye aliye shambani asirudi nyuma kulichukua vazi lake.

Mk 13:17 SUV

Lakini ole wao wenye mimba, nao wanyonyeshao siku hizo!

Mk 13:18 SUV

Ila ombeni yasitokee hayo wakati wa baridi.

Mk 13:21 SUV

Na wakati huo mtu akiwaambia, Tazama, Kristo yupo hapa, au yuko kule, msisadiki

Mk 13:23 SUV

Bali ninyi jihadharini; nimekwisha kuwaonya yote mbele.

Mk 13:24 SUV

Lakini siku zile, baada ya dhiki hiyo, jua litatiwa giza, na mwezi hatautoa mwanga wake.

Mk 13:25 SUV

na nyota za mbinguni zitakuwa zikianguka, na nguvu zilizo mbinguni zitatikisika.

Mk 13:26 SUV

Hapo ndipo watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni kwa nguvu nyingi na utukufu.

Mk 13:29 SUV

nanyi kadhalika, myaonapo mambo hayo yanaanza, tambueni ya kuwa yu karibu milangoni.

Mk 13:30 SUV

Amin, nawaambieni, Kizazi hiki hakitapita, hata hayo yote yatimie.

Mk 13:31 SUV

Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe.

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy