YouVersion Logo
Search Icon

Mk 1:2, 3, 4, 5, 6, 7, 8, 9, 10, 11, 12, 13, 14, 15, 16, 17, 18, 19, 20

Mk 1:3 SUV

Sauti ya mtu aliaye nyikani, Itengenezeni njia ya Bwana, Yanyosheni mapito yake.

Mk 1:4 SUV

Yohana alitokea, akibatiza nyikani, na kuuhubiri ubatizo wa toba liletalo ondoleo la dhambi.

Mk 1:8 SUV

Mimi niliwabatiza kwa maji; bali yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu.

Mk 1:10 SUV

Mara alipopanda kutoka majini, akaona mbingu zinapasuka, na Roho, kama hua, akishuka juu yake

Mk 1:11 SUV

na sauti ikatoka mbinguni, Wewe ndiwe Mwanangu, mpendwa wangu; nimependezwa nawe.

Mk 1:12 SUV

Mara Roho akamtoa aende nyikani.

Mk 1:14 SUV

Hata baada ya Yohana kutiwa gerezani, Yesu akaenda Galilaya, akiihubiri Habari Njema ya Mungu

Mk 1:15 SUV

akisema, Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili.

Mk 1:17 SUV

Yesu akawaambia, Njoni mnifuate, nami nitawafanya kuwa wavuvi wa watu.

Mk 1:18 SUV

Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy