YouVersion Logo
Search Icon

Lk 4:1, 2, 3, 5, 6, 7, 8, 9, 10, 11, 12, 13

Lk 4:2 SUV

akijaribiwa na Ibilisi. Na siku hizo alikuwa hali kitu; hata zilipotimia, aliona njaa.

Lk 4:3 SUV

Ibilisi akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, liambie jiwe hili liwe mkate.

Lk 4:5 SUV

Akampandisha juu, akamwonyesha milki zote za ulimwengu kwa dakika moja.

Lk 4:7 SUV

Basi, wewe ukisujudu mbele yangu yote yatakuwa yako.

Lk 4:8 SUV

Yesu akajibu akamwambia, Imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake.

Lk 4:10 SUV

kwa maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake wakulinde

Lk 4:11 SUV

na ya kwamba, Mikononi mwao watakuchukua, Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.

Lk 4:12 SUV

Yesu akajibu akamwambia, Imenenwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako.

Lk 4:13 SUV

Basi alipomaliza kila jaribu, Ibilisi akamwacha akaenda zake kwa muda.

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy