YouVersion Logo
Search Icon

Yn 8:31, 32, 33, 34, 35, 36, 37, 38, 39, 40, 41, 42, 43, 44, 45, 46, 47, 48, 49, 50, 51, 52, 53, 54, 55, 56, 57, 58, 59

Yn 8:32 SUV

tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.

Yn 8:34 SUV

Yesu akawajibu, Amin, amin, nawaambia, Kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi.

Yn 8:35 SUV

Wala mtumwa hakai nyumbani sikuzote; mwana hukaa sikuzote.

Yn 8:36 SUV

Basi Mwana akiwaweka huru, mtakuwa huru kweli kweli.

Yn 8:43 SUV

Mbona hamyafahamu hayo niyasemayo? Ni kwa sababu ninyi hamwezi kulisikia neno langu.

Yn 8:45 SUV

Nami, kwa sababu nasema iliyo kweli, hamnisadiki.

Yn 8:48 SUV

Wayahudi wakajibu, wakamwambia, Je! Sisi hatusemi vema ya kwamba wewe u Msamaria, nawe una pepo?

Yn 8:50 SUV

Wala mimi siutafuti utukufu wangu; yuko mwenye kutafuta na kuhukumu.

Yn 8:51 SUV

Amin, amin, nawaambia, Mtu akilishika neno langu, hataona mauti milele.

Yn 8:53 SUV

Wewe u mkuu kuliko baba yetu Ibrahimu, ambaye amekufa? Nao manabii wamekufa. Wajifanya u nani?

Yn 8:56 SUV

Ibrahimu, baba yenu, alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu; naye akaiona, akafurahi.

Yn 8:57 SUV

Basi Wayahudi wakamwambia, Wewe hujapata bado miaka hamsini, nawe umemwona Ibrahimu?

Yn 8:58 SUV

Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.

Yn 8:59 SUV

Basi wakaokota mawe ili wamtupie; lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy