YouVersion Logo
Search Icon

Yn 5:1, 2, 3, 4, 6, 7, 8, 9, 10, 11, 12, 13, 14, 15, 16, 17, 18

Yn 5:1 SUV

Baada ya hayo palikuwa na sikukuu ya Wayahudi; naye Yesu akakwea kwenda Yerusalemu.

Yn 5:8 SUV

Yesu akamwambia, Simama, jitwike godoro lako, uende.

Yn 5:9 SUV

Mara yule mtu akawa mzima, akajitwika godoro lake, akaenda. Nayo ilikuwa ni sabato siku hiyo.

Yn 5:11 SUV

Akawajibu, Yeye aliyenifanya kuwa mzima ndiye aliyeniambia, Jitwike godoro lako, uende.

Yn 5:12 SUV

Basi wakamwuliza, Yule aliyekuambia, Jitwike, uende, ni nani?

Yn 5:15 SUV

Yule mtu akaenda zake, akawapasha habari Wayahudi ya kwamba ni Yesu aliyemfanya kuwa mzima.

Yn 5:16 SUV

Kwa sababu hiyo Wayahudi wakamwudhi Yesu, kwa kuwa alitenda hayo siku ya sabato.

Yn 5:17 SUV

Akawajibu, Baba yangu anatenda kazi hata sasa, nami ninatenda kazi.

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy