YouVersion Logo
Search Icon

Mdo 13:2-3

Mdo 13:2-3 SUV

Basi hawa walipokuwa wakimfanyia Bwana ibada na kufunga, Roho Mtakatifu akasema, Nitengeeni Barnaba na Sauli kwa kazi ile niliyowaitia. Ndipo wakiisha kufunga na kuomba, wakaweka mikono yao juu yao, wakawaacha waende zao.

Free Reading Plans and Devotionals related to Mdo 13:2-3