1
Zaburi 107:1
Biblia Habari Njema
BHN
Mshukuruni Mwenyezi-Mungu kwa kuwa ni mwema; kwa maana fadhili zake zadumu milele!
Compare
Explore Zaburi 107:1
2
Zaburi 107:20
Kwa neno lake aliwaponya, akawaokoa wasiangamie.
Explore Zaburi 107:20
3
Zaburi 107:8-9
Mshukuruni Mwenyezi-Mungu kwa fadhili zake; kwa sababu ya maajabu aliyowatendea binadamu. Yeye huwatosheleza walio na kiu; na wenye njaa huwashibisha mema.
Explore Zaburi 107:8-9
4
Zaburi 107:28-29
Ndipo katika taabu zao wakamlilia Mwenyezi-Mungu, naye akawaokoa katika mateso zao. Aliifanya ile dhoruba kali itulie, nayo mawimbi yakanyamaza.
Explore Zaburi 107:28-29
5
Zaburi 107:6
Ndipo katika taabu yao wakamlilia Mwenyezi-Mungu, naye akawaokoa katika mateso yao.
Explore Zaburi 107:6
6
Zaburi 107:19
Explore Zaburi 107:19
7
Zaburi 107:13
Explore Zaburi 107:13
Home
Bible
Plans
Videos