1
Yobu 34:21
Biblia Habari Njema
BHN
“Macho ya Mungu huchunguza mienendo ya watu; yeye huziona hatua zao zote.
Compare
Explore Yobu 34:21
2
Yobu 34:32
Nioneshe makosa nisiyoweza kuyaona kama nimetenda mabaya sitayarudia tena.’
Explore Yobu 34:32
3
Yobu 34:10-11
“Kwa hiyo nisikilizeni, enyi wenye ujuzi. Mungu kamwe hawezi kufanya uovu; Mungu Mwenye Nguvu hawezi kufanya kosa. Mungu atamlipa mtu kadiri ya matendo yake, atamlipiza kulingana na mwenendo wake.
Explore Yobu 34:10-11