1
Waroma 15:13
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Naye Mungu, mnayemngojea, awajaze ninyi nyote furaha na utengemano kwa hivyo, mnavyomtegemea, kingojeo chenu kiongezwe nguvu itokayo kwa Roho Mtakatifu!*
Compare
Explore Waroma 15:13
2
Waroma 15:4
*Kwani yote yaliyoandikwa kale yamendikwa, yatufundishe, tupate kukishika kingojeo chetu tukivumilia, tena tukitulizwa mioyo na yale Maandiko.
Explore Waroma 15:4
3
Waroma 15:5-6
Naye Mungu mwenye uvumilivu na mwenye kuituliza mioyo ya watu awape, mioyo yenu nyote iwe mmoja tu, kama inavyowapasa walio wa Kristo Yesu! Hivyo mtamtukuza Mungu, Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo, kwa moyo mmoja na kwa kinywa kimoja.
Explore Waroma 15:5-6
4
Waroma 15:7
Kwa hiyo mpokeane, kama Kristo alivyotupokea na sisi, Mungu atukuzwe!
Explore Waroma 15:7
5
Waroma 15:2
Kwetu kila mmoja sharti ampendeze mwenziwe, tusaidiane kujengana vizuri!
Explore Waroma 15:2
Home
Bible
Plans
Videos