1
Mateo 27:46
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Ilipokuwa kama saa tisa, Yesu akapaza sauti sana akisema: Eli, Eli, lama sabaktani? Ni kwamba: Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
Compare
Explore Mateo 27:46
2
Mateo 27:51-52
Papo hapo ndipo, pazia la Jumbani mwa Mungu lilipopasuka toka juu mpaka chini, likawa vipande viwili. Nchi ikatetemeka, miamba ikapasuka, makaburi yakafunuka, ikafufuka miili mingi ya watu watakatifu waliolala
Explore Mateo 27:51-52
3
Mateo 27:50
Kisha Yesu akapaza tena sauti sana, akakata roho.
Explore Mateo 27:50
4
Mateo 27:54
Lakini bwana askari nao waliokuwa pamoja naye wakimlinda Yesu walipoliona lile tetemeko na yale mambo yaliyokuwapo, wakaogopa sana, wakasema: Kweli, huyu alikuwa Mwana wa Mungu!
Explore Mateo 27:54
5
Mateo 27:45
Tangu saa sita pakawa na giza katika nchi yote mpaka saa tisa.
Explore Mateo 27:45
6
Mateo 27:22-23
Pilato akamwambia: Basi, Yesu anayeitwa Kristo nimfanyie nini? Wakasema wote: Na awambwe msalabani! Aliposema: Ni kiovu gani, alichokifanya? wakakaza kupiga makelele wakisema: Na awambwe msalabani!
Explore Mateo 27:22-23
Home
Bible
Plans
Videos