1
Mateo 26:41
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Kesheni na kuomba, msije kuingia majaribuni! Roho inataka kuitikia, lakini mwili ni mnyonge.
Compare
Explore Mateo 26:41
2
Mateo 26:38
akawaambia: Roho yangu inaumizwa sana na masikitiko, imesalia kufa tu. Kaeni papa hapa, mkeshe pamoja nami!
Explore Mateo 26:38
3
Mateo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akaomba akisema: Baba, ikiwezekana kinyweo hiki kinipite, nisikinyuwe! Lakini yasifanyike, kama nitakavyo mimi, ila yafanyike kama utakavyo wewe!
Explore Mateo 26:39
4
Mateo 26:28
Maana hii ndiyo damu yangu ya Agano Jipya inayomwagwa kwa ajili ya wengi, wapate kuondolewa makosa.
Explore Mateo 26:28
5
Mateo 26:26
Walipokuwa wakila, Yesu akatwaa mkate, akauombea, akaumega, akawapa wanafunzi akisema: Twaeni, mle! Huu ndio mwili wangu.
Explore Mateo 26:26
6
Mateo 26:27
Kisha akatwaa kinyweo, akashukuru, akawapa akisema: Nyweni nyote humu!
Explore Mateo 26:27
7
Mateo 26:40
Alipowajia wanafunzi, akawakuta, wamelala usingizi, akamwambia Petero: Hamkuweza kukesha pamoja nami saa moja tu?
Explore Mateo 26:40
8
Mateo 26:29
Lakini nawaambiani: Tangu sasa sitayanywa tena mazao ya mizabibu mpaka siku ile, nitakapoyanywa mapya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.
Explore Mateo 26:29
9
Mateo 26:75
Hapo Petero akalikumbuka lile neno la Yesu, aliposema: Jogoo atakapokuwa hajawika, utakuwa umenikana mara tatu. Akatoka nje, akalia sana kwa uchungu.
Explore Mateo 26:75
10
Mateo 26:46
Inukeni, twende! Tazameni, mwenye kunichongea yuko karibu!
Explore Mateo 26:46
11
Mateo 26:52
Ndipo, Yesu alipomwambia: Urudishe upanga wako mahali pake! kwani wote wenye kushika panga wataangamizwa kwa upanga.
Explore Mateo 26:52
Home
Bible
Plans
Videos