1
Waroma 7:25
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Mungu ashukuriwe kwa ajili ya Bwana wetu Yesu Kristo! Basi hivi kwa upande mumoja ninatumikia sheria ya Mungu kwa akili yangu, lakini kwa upande mwingine ninatumikia sheria ya zambi kwa hali yangu ya kimwili.
Compare
Explore Waroma 7:25
2
Waroma 7:18
Kwa maana ninajua kwamba hakuna kitu kizuri kinachokaa ndani yangu, ni kusema katika hali yangu ya kimwili. Ni hivi kwa sababu ninakuwa na utashi wa kufanya jambo jema, lakini sifikii kulifanya.
Explore Waroma 7:18
3
Waroma 7:19
Jambo jema ninalotaka kufanya, silifanyi, lakini jambo baya nisilotaka, ndilo ninalofanya.
Explore Waroma 7:19
4
Waroma 7:20
Basi kama ninafanya kile nisichotaka kufanya, si mimi ninayekifanya, lakini ni ile zambi inayokaa ndani yangu.
Explore Waroma 7:20
5
Waroma 7:21-22
Basi ninatambua kanuni hii: wakati ninapotaka kufanya jambo jema, mara moja ninavutwa kufanya jambo baya. Ndani ya roho yangu ninapendezwa na Sheria ya Mungu
Explore Waroma 7:21-22
6
Waroma 7:16
Ikiwa kile ninachofanya ndicho nisichotaka, maana yake ninakubali ya kuwa Sheria ni nzuri.
Explore Waroma 7:16
Home
Bible
Plans
Videos