1
Zaburi 146:5
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Heri mutu anayesaidiwa na Mungu wa Yakobo, mutu anayemutumainia Yawe, Mungu wake
Compare
Explore Zaburi 146:5
2
Zaburi 146:3
Musiwategemee wakubwa wa dunia; hao ni wanadamu tu, hawawezi kuokoa.
Explore Zaburi 146:3
3
Zaburi 146:7-8
Yeye anawapatia wanaoonewa haki yao, anawapa wenye njaa chakula. Yawe anawapa wafungwa uhuru, anawafungua vipofu macho. Yawe anawainua waliogandamizwa; anawapenda watu wa haki.
Explore Zaburi 146:7-8
4
Zaburi 146:6
aliyeumba mbingu na dunia, bahari na vyote vinavyokuwa ndani yao. Yeye anashika ahadi yake milele.
Explore Zaburi 146:6
5
Zaburi 146:9
Yawe anawalinda wageni, anawasaidia wajane na wayatima; lakini anaharibu mipango ya waovu.
Explore Zaburi 146:9