1
Matayo 19:26
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Yesu akawaangalia na kuwaambia: “Jambo hilo haliwezi kutendeka kwa uwezo wa mwanadamu, lakini kwa uwezo wa Mungu, yote yanawezekana.”
Compare
Explore Matayo 19:26
2
Matayo 19:6
Hivi wao si wawili tena, lakini wanakuwa mumoja. Basi mutu asitenganishe kile Mungu alichokiunganisha.”
Explore Matayo 19:6
3
Matayo 19:4-5
Yesu akajibu: “Hamujasoma bado maneno yanayoandikwa katika Maandiko Matakatifu? ‘Kwa mwanzo Muumba aliumba mwanaume na mwanamuke,’ na kisha akasema: ‘Kwa sababu hii, mutu atawaacha baba yake na mama yake na kuungana na muke wake, nao wawili watakuwa mwili mumoja.’
Explore Matayo 19:4-5
4
Matayo 19:14
Lakini Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Muwaache watoto wakuje kwangu, wala musiwakataze, kwa maana Ufalme wa mbinguni ni wa watu wanaokuwa sawasawa na wao.”
Explore Matayo 19:14
5
Matayo 19:30
Lakini wengi wanaokuwa wa kwanza watakuwa wa mwisho, na wengi wanaokuwa wa mwisho watakuwa wa kwanza.
Explore Matayo 19:30
6
Matayo 19:29
Na kila mutu aliyeacha nyumba yake, kaka, dada, baba, mama, watoto au mashamba kwa ajili yangu, atapokea mara nyingi zaidi na kupewa uzima wa milele.
Explore Matayo 19:29
7
Matayo 19:21
Yesu akamujibu: “Ukitaka kuwa mutimilifu, kwenda uuzishe vitu unavyokuwa navyo, na uwape wamasikini mali zile, nawe utakuwa na akiba mbinguni. Kisha urudi, unifuate.”
Explore Matayo 19:21
8
Matayo 19:17
Yesu akamujibu: “Sababu gani unaniuliza juu ya jambo linalokuwa jema? Kuna mumoja tu anayekuwa mwema. Kama ukitaka kuingia pahali utakapopata uzima wa kweli, utii amri za Mungu.”
Explore Matayo 19:17
9
Matayo 19:24
Ninawaambia tena: ni kwepesi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano, kuliko tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu.”
Explore Matayo 19:24
10
Matayo 19:9
Na sasa mimi ninawaambia: kila mutu anayeachana na muke wake, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi tu, na kumwoa muke mwingine, anazini.”
Explore Matayo 19:9
11
Matayo 19:23
Halafu Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Kweli ninawaambia: ni vigumu sana kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa mbinguni.
Explore Matayo 19:23
Home
Bible
Plans
Videos