1
Matayo 18:20
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kwa maana pahali popote watu wawili au watatu wanapokusanyika kwa ajili ya jina langu, mimi ni pale katikati yao.”
Compare
Explore Matayo 18:20
2
Matayo 18:19
“Kweli ninawaambia tena: wawili kati yenu hapa katika dunia wakipatana kwa kuomba juu ya kitu chochote, Baba yangu anayekuwa mbinguni atawapa kitu kile.
Explore Matayo 18:19
3
Matayo 18:2-3
Halafu akamwita mutoto mudogo, akamusimamisha katikati yao na kusema: “Kweli ninawaambia: kama musipogeuka na kuwa sawasawa na mutoto mudogo, hamutaingia katika Ufalme wa mbinguni hata kidogo.
Explore Matayo 18:2-3
4
Matayo 18:4
Basi kila mutu atakayekuwa munyenyekevu kama huyu mutoto mudogo, ndiye atakayekuwa mukubwa katika Ufalme wa mbinguni.
Explore Matayo 18:4
5
Matayo 18:5
Naye anayemupokea mutoto mudogo kama huyu kwa ajili ya jina langu, ananipokea mimi.
Explore Matayo 18:5
6
Matayo 18:18
“Hivi, kweli ninawaambia: chochote mutakachokikataza katika dunia kitakatazwa mbinguni vilevile, na chochote mutakachokiruhusu katika dunia, kitaruhusiwa mbinguni vilevile.
Explore Matayo 18:18
7
Matayo 18:35
Yesu akaongeza kusema: “Ni hivi vilevile Baba yangu anayekuwa mbinguni atakavyowatendea ninyi, kama kila mumoja wenu asipomusamehe ndugu yake kwa moyo wake wote.”
Explore Matayo 18:35
8
Matayo 18:6
“Lakini anayeangusha mumoja wa hawa wadogo wanaoniamini, ingalikuwa heri afungiwe jiwe kubwa la kusagia katika shingo na kuzamishwa ndani ya bahari.
Explore Matayo 18:6
9
Matayo 18:12
“Munafikiri nini? Kama mutu akiwa na kondoo mia moja, na mumoja wao akipotea, hatawaacha wale wengine makumi tisa na tisa juu ya mulima na kwenda kumutafuta yule aliyepotea?
Explore Matayo 18:12
Home
Bible
Plans
Videos