1
Walawi 26:12
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Nitatembea kati yenu na kuwa Mungu wenu nanyi mutakuwa watu wangu.
Compare
Explore Walawi 26:12
2
Walawi 26:4
nitawanyeshea mvua kwa wakati unaofaa, inchi ipate kuzaa mavuno kwa wingi, nayo miti ya mashamba matunda yake.
Explore Walawi 26:4
3
Walawi 26:3
Kama mukifuata masharti yangu na kushika amri zangu
Explore Walawi 26:3
4
Walawi 26:6
Nitawapa amani katika inchi hata muweze kulala bila kuogopeshwa na chochote. Nitaondoa nyama wakali katika inchi na inchi yenu haitapatwa na vita.
Explore Walawi 26:6
5
Walawi 26:9
Nitawarehemu na kuwajalia mupate watoto wengi na kuongezeka. Nami nitaliimarisha agano langu nanyi.
Explore Walawi 26:9
6
Walawi 26:13
Mimi ni Yawe, Mungu wenu, niliyewatoa katika inchi ya Misri kusudi musikuwe watumwa wa Wamisri. Mimi nimevunja nira muliyofungiwa katika shingo lenu na kuwafanya mutembee wima.
Explore Walawi 26:13
7
Walawi 26:11
Nitaweka makao yangu kati yenu, wala sitawaachilia.
Explore Walawi 26:11
8
Walawi 26:1
Musijitengenezee sanamu za miungu ya uongo, musishike sanamu zao za kuchongwa wala nguzo wala sanamu za mawe yaliyochongwa katika inchi yenu na kuviabudu. Mimi ni Yawe, Mungu wenu.
Explore Walawi 26:1
9
Walawi 26:10
Wakati wa mavuno mutakuwa mungali munakula mazao ya zamani. Tena itawapasa kuondoa yaliyobaki kwa kupata nafasi ya kulinda mavuno mapya.
Explore Walawi 26:10
10
Walawi 26:8
Watano wenu watafukuza waadui mia moja na mia moja wenu watafukuza waadui elfu kumi. Waadui zenu wataangamia mbele yenu kwa upanga.
Explore Walawi 26:8
11
Walawi 26:5
Kupepeta ngano kutaendelea mpaka wakati wa kuvuna zabibu, na mavuno ya zabibu mpaka wakati wa kupanda mbegu. Mutakuwa na chakula tele na kuishi kwa usalama katika inchi yenu.
Explore Walawi 26:5
12
Walawi 26:7
Mutafukuza waadui zenu na kuwaua kwa upanga.
Explore Walawi 26:7
13
Walawi 26:2
Mushike Sabato zangu na kuheshimu Pahali pangu Patakatifu. Mimi ni Yawe.
Explore Walawi 26:2
Home
Bible
Plans
Videos