1
Walawi 20:13
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kama mwanaume yeyote akilala na mwanaume mwenzake sawa vile ni mwanamuke, basi, wote wawili wanapaswa kuuawa maana wamefanya jambo linalokuwa chukizo na damu yao itakuwa juu yao wenyewe.
Compare
Explore Walawi 20:13
2
Walawi 20:7
Kwa hiyo, mujitakase mukuwe watakatifu, maana mimi ni Yawe, Mungu wenu.
Explore Walawi 20:7
3
Walawi 20:26
Kwa sababu mimi Yawe ni mutakatifu, nami nimewatenga ninyi na mataifa mengine kusudi mukuwe mali yangu, mutakuwa watakatifu.
Explore Walawi 20:26
4
Walawi 20:8
Mushike masharti yangu na kuyatimiza. Mimi ni Yawe ninayewatakasa.
Explore Walawi 20:8
Home
Bible
Plans
Videos