1
Walawi 19:18
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Usijilipize kisasi au kuwa na kinyongo juu ya wazao wa watu wako lakini umupende mwenzako kama vile unavyojipenda wewe mwenyewe. Mimi ni Yawe.
Compare
Explore Walawi 19:18
2
Walawi 19:28
Musijitie chanjo juu ya mwili wenu kwa ajili ya kuomboleza au kujikatakata chanjo yoyote juu ya mwili. Mimi ni Yawe.
Explore Walawi 19:28
3
Walawi 19:2
Uwaambie Waisraeli wote pamoja hivi: Mukuwe watakatifu maana mimi Yawe, Mungu wenu, ni mutakatifu.
Explore Walawi 19:2
4
Walawi 19:17
Usimuchukie ndugu yako ndani ya moyo wako, lakini upatane siku zote na mwenzako kusudi usitende zambi.
Explore Walawi 19:17
5
Walawi 19:31
Musiwaendee waaguzi wa mizimu wala wachawi kwa kuwaomba wawaaguzie. Mukifanya hivi, mutajichafua. Mimi ni Yawe, Mungu wenu.
Explore Walawi 19:31
6
Walawi 19:16
Usipitepite hata kidogo ukiwachongea watu wa jamaa yako. Usitie maisha ya mwenzako katika hatari ya kifo kwa maneno yako. Mimi ni Yawe.
Explore Walawi 19:16
Home
Bible
Plans
Videos