Kama utamutafuta Mungu
na kumusihi yule Mungu Mwenye Uwezo,
kama wewe uko safi ndani ya moyo na wa usawa,
kweli Mungu atakuja kukusaidia,
na kukujalia makao unayostahili.
Na ingawa ulianza kuishi kwa uzaifu,
maisha yako ya mwisho yatakuwa bora zaidi.