1
Yobu 5:17-18
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Heri mutu yule anayeazibiwa na Mungu! Hivyo usizarau Mungu Mwenye Uwezo anapokuazibu. Maana yeye anaumiza na tena anatunza, anatia kidonda na kwa mukono wake anaponyesha.
Compare
Explore Yobu 5:17-18
2
Yobu 5:8-9
Kwa ngambo yangu, mimi ningemugeukia Mungu, ningemutolea Mungu maneno yangu, yeye anayetenda mambo makubwa yasiyochunguzika, anayetenda maajabu yasiyohesabika.
Explore Yobu 5:8-9
3
Yobu 5:19
Atakuokoa mara sita toka katika magumu; hata mara saba hasara haitakugusa.
Explore Yobu 5:19