1
Yobu 27:3-4
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
ninaapa kwamba kadiri ninavyoweza kupumua, roho ya Mungu ikiwa bado ndani yangu, midomo yangu haitasema uongo hata kidogo, wala ulimi wangu kusema udanganyifu.
Compare
Explore Yobu 27:3-4
2
Yobu 27:6
Ninashikilia haki yangu, wala sitaiacha; katika zamiri yangu sina cha kunihukumu katika maisha yangu.
Explore Yobu 27:6