1
Yobu 11:18
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Utakuwa na uhakika maana kuna tumaini; utalindwa na kupumzika salama.
Compare
Explore Yobu 11:18
2
Yobu 11:13-15
Yobu, ukifanya moyo wako mukamilifu, utainua mikono yako kwa kumwomba Mungu! Kama uovu uko katika mukono wako, uutupilie mbali. Usikubali ubaya ukuwe katika nyumba yako. Halafu utainua uso wako bila kosa, utakuwa imara bila kuwa na hofu.
Explore Yobu 11:13-15
3
Yobu 11:16-17
Utazisahau taabu zako zote; utazikumbuka tu kama mafuriko yaliyopita. Maisha yako yataangaa kuliko jua la muchana kati, giza lake litabadilika kuwa mapambazuko.
Explore Yobu 11:16-17