1
Yakobo 3:17
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Lakini hekima inayotoka mbinguni, kwanza ni safi, tena ni yenye amani, upole na usikilivu, inajaa huruma na matendo mema. Haina upendeleo wala udanganyifu.
Compare
Explore Yakobo 3:17
2
Yakobo 3:13
Nani anayekuwa na hekima na ufahamu kati yenu? Basi aonyeshe jambo lile kwa njia ya mwenendo wake muzuri, kwa njia ya matendo yanayofanyika katika upole unaotokana na hekima ile.
Explore Yakobo 3:13
3
Yakobo 3:18
Na tunda la haki linapandwa katika amani na wale wanaopenda amani.
Explore Yakobo 3:18
4
Yakobo 3:16
Kwa maana pahali kunapokuwa wivu na roho ya ugomvi, kuko machafuko vilevile na kila tendo baya.
Explore Yakobo 3:16
5
Yakobo 3:9-10
Kwa njia ya ulimi tunamusifu Bwana anayekuwa Baba yetu, na kwa njia ile ile tunalaani watu walioumbwa kwa mufano wa Mungu. Ndani ya kinywa kimoja munatoka maneno ya sifa na ya laana. Wandugu zangu, mambo haya hayapaswi kuwa vile.
Explore Yakobo 3:9-10
6
Yakobo 3:6
Nao ulimi ni kama moto. Ulimi ni kiungo kinachojaa ubaya wa kila namna. Ulimi unapatikana kwenye nafasi yake katikati ya viungo vyetu, nao ndio unaochafua mwili wote. Unateketeza maisha yetu ukichomwa wenyewe na moto unaotoka katika jehenamu.
Explore Yakobo 3:6
7
Yakobo 3:8
Lakini hakuna mutu mumoja anayeweza kufuga ulimi, maana ni uovu usiotulia, unajaa sumu yenye kuua.
Explore Yakobo 3:8
8
Yakobo 3:1
Wandugu zangu, kati yenu kusikuwe walimu wengi, kwa maana munajua vema ya kuwa sisi walimu tutahukumiwa vikali zaidi kuliko watu wengine.
Explore Yakobo 3:1
Home
Bible
Plans
Videos