1
Yakobo 2:17
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ni hivi vilevile, imani peke yake pasipo matendo imekufa kabisa.
Compare
Explore Yakobo 2:17
2
Yakobo 2:26
Kwa maana kama vile mwili usiokuwa na pumzi ndani yake umekufa, hivi vilevile imani pasipo matendo imekufa.
Explore Yakobo 2:26
3
Yakobo 2:14
Wandugu zangu, ni faida gani kama mutu akisema kwamba yuko na imani lakini haionyeshi kwa njia ya matendo mazuri? Ile imani itaweza kumwokoa?
Explore Yakobo 2:14
4
Yakobo 2:19
Si wewe unaamini kwamba kuna Mungu mumoja? Ni vizuri! Hata pepo wanaamini vile, nao wanatetemeka kwa woga.
Explore Yakobo 2:19
5
Yakobo 2:18
Lakini mutu anaweza kusema: “Wewe uko na imani, na mimi niko na matendo.” Mimi nitajibu: “Unionyeshe imani yako pasipo matendo, na mimi nitakuonyesha imani yangu kwa njia ya matendo yangu.”
Explore Yakobo 2:18
6
Yakobo 2:13
Kwa sababu Mungu hatahurumia mutu yule asiyehurumia wengine. Lakini huruma ya Mungu itaishinda hukumu.
Explore Yakobo 2:13
7
Yakobo 2:24
Basi munaona kwamba mutu anahesabiwa haki mbele ya Mungu kwa njia ya matendo, wala si kwa njia ya imani peke yake.
Explore Yakobo 2:24
8
Yakobo 2:22
Basi unaona kwamba imani yake ilionekana kwa njia ya matendo yake na kwa njia hiyo ikapata kukamilishwa.
Explore Yakobo 2:22
Home
Bible
Plans
Videos