Yawe, Mutakatifu wa Israeli,
Mukombozi wako, anasema hivi:
Mimi ndiye Yawe, Mungu wako;
ninayekufundisha kwa faida yako
na kukuongoza katika njia unayotakiwa kwenda.
Ingekuwa heri ungalizitii amri zangu!
Halafu baraka zingekutiririkia kama muto,
ungefanikiwa kwa wingi kama mawimbi ya bahari.