YouVersion Logo
Search Icon

Isaya 48:17-18

Isaya 48:17-18 SWC02

Yawe, Mutakatifu wa Israeli, Mukombozi wako, anasema hivi: Mimi ndiye Yawe, Mungu wako; ninayekufundisha kwa faida yako na kukuongoza katika njia unayotakiwa kwenda. Ingekuwa heri ungalizitii amri zangu! Halafu baraka zingekutiririkia kama muto, ungefanikiwa kwa wingi kama mawimbi ya bahari.

Verse Images for Isaya 48:17-18

Isaya 48:17-18 - Yawe, Mutakatifu wa Israeli,
Mukombozi wako, anasema hivi:
Mimi ndiye Yawe, Mungu wako;
ninayekufundisha kwa faida yako
na kukuongoza katika njia unayotakiwa kwenda.
Ingekuwa heri ungalizitii amri zangu!
Halafu baraka zingekutiririkia kama muto,
ungefanikiwa kwa wingi kama mawimbi ya bahari.Isaya 48:17-18 - Yawe, Mutakatifu wa Israeli,
Mukombozi wako, anasema hivi:
Mimi ndiye Yawe, Mungu wako;
ninayekufundisha kwa faida yako
na kukuongoza katika njia unayotakiwa kwenda.
Ingekuwa heri ungalizitii amri zangu!
Halafu baraka zingekutiririkia kama muto,
ungefanikiwa kwa wingi kama mawimbi ya bahari.Isaya 48:17-18 - Yawe, Mutakatifu wa Israeli,
Mukombozi wako, anasema hivi:
Mimi ndiye Yawe, Mungu wako;
ninayekufundisha kwa faida yako
na kukuongoza katika njia unayotakiwa kwenda.
Ingekuwa heri ungalizitii amri zangu!
Halafu baraka zingekutiririkia kama muto,
ungefanikiwa kwa wingi kama mawimbi ya bahari.

Free Reading Plans and Devotionals related to Isaya 48:17-18