1
Habakuki 1:5
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Mungu akasema: Muangalie mataifa, muone! Mustaajabu na kushangaa. Maana ninatenda kitu ukiwa bado unaishi, kitu ambacho ungeambiwa haungesadiki.
Compare
Explore Habakuki 1:5
2
Habakuki 1:2
Ee Yawe, nitakulilia mpaka wakati gani, nawe usinisikilize na kunisaidia? Kwa nini ninalia “Mateso makali!” nawe hautuokoi?
Explore Habakuki 1:2
3
Habakuki 1:3
Kwa nini unaniachilia kuona mabaya na taabu? Uharibifu na mateso makali vinanizunguka, ugomvi na mabishano yanatokea.
Explore Habakuki 1:3
4
Habakuki 1:4
Hivyo sheria haina nguvu, wala haki haifuatiliwi. Waovu wanawazunguka wenye haki, hivyo hukumu inatolewa na sheria imepotoshwa.
Explore Habakuki 1:4