1
Ezekieli 38:23
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ndivyo nitakavyofanya kusudi yote yaone ukubwa wangu na utakatifu wangu. Halafu watatambua kwamba mimi ni Yawe.
Compare
Explore Ezekieli 38:23
2
Ezekieli 38:2-3
Wewe mwanadamu! Umugeukie Gogi mufalme wa inchi ya Magogi ambaye ni mutawala mukubwa wa Meseki na Tubali. Toa unabii juu yake na kumwambia kwamba: Bwana wetu Yawe anasema hivi: Mimi nitapingana nawe, ewe Gogi, mutawala wa Meseki na Tubali.
Explore Ezekieli 38:2-3
3
Ezekieli 38:16
Utawashambulia Waisraeli, kama vile wingu linalotanda juu ya inchi. Wakati huo nitakutuma uishambulie inchi yangu, kusudi mataifa yajue kwamba nimekutumia wewe Gogi kusudi nionyeshe utakatifu wangu mbele yao.
Explore Ezekieli 38:16