1
Ezekieli 23:49
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Na ninyi Ohola na Oholiba, mutaazibiwa kutokana na uzinzi wenu na zambi yenu ya kuziabudu sanamu za miungu. Halafu mutatambua kwamba mimi ni Bwana wenu Yawe.
Compare
Explore Ezekieli 23:49
2
Ezekieli 23:35
Kwa hiyo Bwana wetu Yawe anasema hivi: Kwa kuwa umenisahau na kunigeuzia mugongo, basi, utabeba muzigo wa uasherati na uzinzi wako.
Explore Ezekieli 23:35