1
Ezekieli 22:30
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Nilitafuta kati yao mutu mumoja atengeneze ukuta na kusimama juu ya nafasi iliyobomoka mbele yangu, kusudi ailinde inchi na kunizuia nisiiharibu, lakini sikumupata hata mumoja.
Compare
Explore Ezekieli 22:30
2
Ezekieli 22:31
Kwa hiyo nimewamwangia kasirani yangu na kwa moto wa hasira yangu nimewateketeza kulingana na matendo yao. –Ndivyo anavyosema Bwana wetu Yawe.
Explore Ezekieli 22:31