1
Kutoka 9:16
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Lakini nimewaacha muishi kwa kuonyesha uwezo wangu. Kwa hiyo dunia yote itatambua kwamba mimi ni nani.
Compare
Explore Kutoka 9:16
2
Kutoka 9:1
Kisha Yawe akamwambia Musa: “Kwenda kwa mufalme wa Misri umwambie kwamba mimi Yawe, Mungu wa Waebrania, ninasema hivi: ‘Uwaache watu wangu waondoke kusudi wanitumikie.
Explore Kutoka 9:1
3
Kutoka 9:15
Ningalikwisha kukuangamiza wewe na watu wako kwa ugonjwa mukali, nanyi mungalikuwa mumekwisha kuangamia.
Explore Kutoka 9:15
4
Kutoka 9:3-4
nitanyoosha mukono wangu na kuleta ugonjwa mukali sana juu ya nyama wenu wote: ngombe, farasi, punda, ngamia, mbuzi na kondoo. Na nitaitenganisha mifugo ya Waisraeli na mifugo ya Wamisri kusudi nyama hata mumoja wa Waisraeli asikufe.’ ”
Explore Kutoka 9:3-4
5
Kutoka 9:18-19
Kwa hiyo kesho, wakati kama huu, nitaleta mvua kubwa ya mawe ambayo haijatokea katika inchi ya Misri, tangu mwanzo wake mpaka leo. Kwa hiyo agiza kwamba mifugo yako na chochote kinachokuwa kule katika mashamba viwekwe pahali salama. Mvua ya mawe itamunyeshea kila mutu na nyama anayekuwa katika shamba na ambaye hayuko ndani ya nyumba. Wote watakufa.’ ”
Explore Kutoka 9:18-19
6
Kutoka 9:9-10
Majivu hayo yatakuwa vumbi nyembamba itakayoenea juu ya inchi yote ya Misri. Yatasababisha majipu yatakayopasuka na kuwa vidonda kwa watu na nyama kila pahali katika inchi ya Misri.” Basi, wakatwaa majivu kutoka kwenye furu, wakamwendea mufalme wa Misri, naye Musa akayarusha juu katika hewa. Watu na nyama wakapatwa na majipu.
Explore Kutoka 9:9-10
Home
Bible
Plans
Videos