1
Muhubiri 8:15
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Basi, mimi ninasifu furaha, kwa maana hapa chini ya jua hakuna kitu kinachokuwa kizuri zaidi kuliko kula na kunywa na kujifurahisha. Haya ndiyo mutu anayoweza kufanya anapotoa jasho katika muda wa maisha yake aliyojaliwa na Mungu chini ya jua.
Compare
Explore Muhubiri 8:15
2
Muhubiri 8:12
Wenye zambi wanatenda maovu mara mia. Hata hivyo, wanaendelea kuishi. Lakini, mimi ninajua kwamba itakuwa heri kwa wanaomwogopa Mungu, kwa sababu ya woga wao.
Explore Muhubiri 8:12
3
Muhubiri 8:6
Kweli, kila kitu kina wakati wake na njia yake, ingawa mwanadamu anapatwa na tatizo kubwa.
Explore Muhubiri 8:6
4
Muhubiri 8:8
Hakuna mutu anayekuwa na uwezo wa kushikilia roho yake kusudi asikufe; hakuna mutu anayekuwa na uwezo juu ya siku ya kufa. Wakati wa vita hakuna kuponyoka, na uovu hauwezi kumwokoa mwovu.
Explore Muhubiri 8:8
5
Muhubiri 8:11
Kwa vile uovu hauazibiwi haraka, mioyo ya wanadamu inakusudia kutenda mabaya.
Explore Muhubiri 8:11
6
Muhubiri 8:14
Kuna jambo moja la bure nililotambua hapa katika dunia: mara kwa mara watu wema wanatendewa jinsi waovu wanavyostahili kutendewa, nao waovu wanatendewa jinsi watu wema wanavyostahili kutendewa. Ninasema kwamba hayo nayo ni bure.
Explore Muhubiri 8:14
7
Muhubiri 8:7
Hajui ni kitu gani kitakachotukia nyuma, maana ni nani anayeweza kumujulisha yatakayotukia nyuma?
Explore Muhubiri 8:7