1
Muhubiri 1:18
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Maana katika kuwa na hekima nyingi kuna wasiwasi; na anayeongeza maarifa zaidi anaongeza huzuni zaidi.
Compare
Explore Muhubiri 1:18
2
Muhubiri 1:9
Yaliyokuwa ndiyo yatakayokuwa, yaliyotendeka ndiyo yatakayotendeka. Chini ya jua hakuna jambo jipya.
Explore Muhubiri 1:9
3
Muhubiri 1:8
Mambo yote yanasababisha muchoko, muchoko mukubwa usioelezeka. Jicho halichoki kuona, wala sikio kusikia.
Explore Muhubiri 1:8
4
Muhubiri 1:2-3
Muhubiri anasema hivi: Bure, bure kabisa. Vyote ni bure! Mwanadamu anafaidia nini kwa jasho lake lote hapa chini ya jua?
Explore Muhubiri 1:2-3
5
Muhubiri 1:14
Nimeyaona mambo yote yanayofanywa chini ya jua. Yote ni bure sawa na kutaka kukamata upepo!
Explore Muhubiri 1:14
6
Muhubiri 1:4
Kizazi kimoja kinapita na kingine kinakuja, lakini dunia inadumu milele.
Explore Muhubiri 1:4
7
Muhubiri 1:11
Hakuna mutu anayekumbuka mambo ya zamani, wala atakayekumbuka yatakayotukia kisha.
Explore Muhubiri 1:11
8
Muhubiri 1:17
Nilifanya bidii kujua umbalimbali kati ya hekima, wazimu na upumbafu. Lakini niligundua kwamba kufanya hivyo ni sawa na kutaka kukamata upepo.
Explore Muhubiri 1:17