1
Kumbukumbu la Sheria 7:9
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Basi, mujue kwamba Yawe, Mungu wenu, ndiye Mungu. Yeye ni Mungu mwaminifu, anayeshika agano lake na kutenda mema kwa vizazi vingi vya wale wanaomupenda na kushika amri zake.
Compare
Explore Kumbukumbu la Sheria 7:9
2
Kumbukumbu la Sheria 7:6
Mufanye hivyo kwa sababu ninyi mumetakaswa kwa Yawe, Mungu wenu. Kati ya watu wote katika ulimwengu aliwachagua ninyi kusudi mukuwe taifa lake mwenyewe.
Explore Kumbukumbu la Sheria 7:6
3
Kumbukumbu la Sheria 7:8
Lakini ni kwa sababu Yawe anawapenda na anashika kiapo alichowaapia babu zenu, ndiyo maana aliwaokoa kwa nguvu zake kubwa na kuwaokoa toka katika utumwa, toka mikono ya mufalme wa Misri.
Explore Kumbukumbu la Sheria 7:8
4
Kumbukumbu la Sheria 7:7
“Yawe hakuwapenda ninyi na kuwachagua kwa sababu ninyi ni wengi sana kuliko watu wengine; ninyi mulikuwa wachache kuliko mataifa mengine katika dunia.
Explore Kumbukumbu la Sheria 7:7
5
Kumbukumbu la Sheria 7:14
Mutabarikiwa kuliko watu wengine wote katika ulimwengu. Kati yenu hakutakuwa mwanaume wala mwanamuke tasa.
Explore Kumbukumbu la Sheria 7:14
Home
Bible
Plans
Videos