Mungu wa Israeli amesema,
Yeye Jiwe la Kufichamia la Israeli ameniambia:
Mutu anayetawala watu kwa haki,
anayewatawala akimwogopa Mungu,
yeye ni kama mwangaza wa asubui,
jua linapochomoza asubui isiyokuwa na mawingu.
Yeye ni kama mvua inayootesha majani juu ya udongo.