YouVersion Logo
Search Icon

2 Samweli 23:3-4

2 Samweli 23:3-4 SWC02

Mungu wa Israeli amesema, Yeye Jiwe la Kufichamia la Israeli ameniambia: Mutu anayetawala watu kwa haki, anayewatawala akimwogopa Mungu, yeye ni kama mwangaza wa asubui, jua linapochomoza asubui isiyokuwa na mawingu. Yeye ni kama mvua inayootesha majani juu ya udongo.

Free Reading Plans and Devotionals related to 2 Samweli 23:3-4