1
2 Samweli 12:13
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Basi, Daudi akamwambia Natani: “Nimetenda zambi mbele ya Yawe.” Natani akamwambia: “Yawe amekusamehe zambi yako, nawe hautakufa.
Compare
Explore 2 Samweli 12:13
2
2 Samweli 12:9
Kwa nini basi, umezarau neno langu mimi Yawe na kufanya uovu huu mbele yangu? Umemwua Uria wa Hiti kwa upanga, ukamukamata muke wake kuwa muke wako. Umewatumia Waamoni kwa kumwua Uria katika vita!
Explore 2 Samweli 12:9