1
2 Wafalme 7:1
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Elisha akamujibu: “Sikiliza neno la Yawe: Kesho kwa wakati kama huu, humu Samaria kilo tatu za unga bora wa ngano zitanunuliwa kwa kipande kimoja cha feza, na kilo sita za shayiri kwa kipande kimoja cha feza.”
Compare
Explore 2 Wafalme 7:1
2
2 Wafalme 7:3
Kulikuwa watu wane wenye ugonjwa wa ukoma waliokuwa inje ya milango ya muji wa Samaria ambao walisemezana, wao kwa wao: “Mbona tunakaa hapa tukikufa na njaa?
Explore 2 Wafalme 7:3
3
2 Wafalme 7:2
Jemedari mulinzi wa mufalme akamwambia Elisha: “Hata kama Yawe mwenyewe angefanya madirisha mbinguni, jambo hilo litawezekana?” Elisha akamujibu: “Utaona kwa macho yako mwenyewe, lakini wewe hautakula.”
Explore 2 Wafalme 7:2