1
2 Wafalme 6:17
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kisha Elisha akaomba: “Ee Yawe, umufumbue macho kusudi apate kuona!” Basi, Yawe akamufumbua macho yule kijana, akaona farasi na magari ya moto yakiwa kila pahali katika mulima wote, kumuzunguka Elisha.
Compare
Explore 2 Wafalme 6:17
2
2 Wafalme 6:16
Elisha akamujibu: “Usiogope kwa sababu wanaokuwa pamoja nasi ni wengi kuliko wanaokuwa pamoja nao.”
Explore 2 Wafalme 6:16
3
2 Wafalme 6:15
Mutumishi wa Elisha alipoamuka mapema kesho yake na kutoka inje, akaona waaskari pamoja na farasi na magari ya vita wameuzunguka muji. Akarudi ndani akasema: “Ole wetu, ee, Bwana wangu! Sasa tutafanya nini?”
Explore 2 Wafalme 6:15
4
2 Wafalme 6:18
Waaramu waliposhambulia, Elisha alimwomba Yawe akisema: “Ninakuomba ufanye watu hawa wakuwe vipofu!” Yawe akasikiliza ombi lake na kuwafanya vipofu.
Explore 2 Wafalme 6:18
5
2 Wafalme 6:6
Elisha akauliza: “Liliangukia wapi?” Mutu huyo akamwonyesha. Elisha akakata kijiti na kukitupa ndani ya maji na palepale shoka likaelea juu ya maji.
Explore 2 Wafalme 6:6
6
2 Wafalme 6:5
Mumoja wao alipokuwa anakata miti, shoka lake likachomoka na kuanguka ndani ya maji. Akalia, akisema: “Sasa bwana wangu nitafanya nini? Shoka hili tulikuwa tumeliazima!”
Explore 2 Wafalme 6:5
7
2 Wafalme 6:7
Elisha akamwamuru alikamate naye akanyoosha mukono, akalikamata.
Explore 2 Wafalme 6:7