1
2 Wakorinto 7:10
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Basi, huzuni inayosababishwa na Mungu inamuwezesha mutu kugeuka toka katika zambi. Na kugeuka kule, kunamuletea kuokoka. Kule kuokoka hakuleti majuto. Lakini huzuni inayosababishwa na mwanadamu inaleta kifo.
Compare
Explore 2 Wakorinto 7:10
2
2 Wakorinto 7:1
Basi wapendwa wangu, kwa kuwa tumepewa ahadi hizi zote, tujitakase toka uchafu wote unaochafua mwili na roho na tujikaze kuwa watakatifu kabisa tukiishi katika kumuheshimu Mungu.
Explore 2 Wakorinto 7:1
3
2 Wakorinto 7:9
Sasa ninafurahi, si kwa sababu muliweza kuhuzunika, lakini kwa sababu huzuni yenu imewawezesha kugeuka toka katika zambi. Kwa maana mumehuzunishwa kufuatana na mupango wa Mungu. Kwa hivi hatukuwatendea ubaya wowote.
Explore 2 Wakorinto 7:9
Home
Bible
Plans
Videos