1
2 Wakorinto 6:14
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Musishirikiane pamoja na watu wasioamini. Kwa maana kuna ushirika gani kati ya haki na uovu? Kuna mapatano gani kati ya mwangaza na giza?
Compare
Explore 2 Wakorinto 6:14
2
2 Wakorinto 6:16
Kuna ulinganisho gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi ni hekalu la Mungu Mwenye Uzima kama vile yeye mwenyewe alivyosema: “Nitakaa na kuishi pamoja nao, nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”
Explore 2 Wakorinto 6:16
3
2 Wakorinto 6:17-18
Kwa sababu hiyo Bwana anasema: “Mutoke kati yao, mujitenge nao. Musiguse kitu chochote kinachohesabiwa kuwa kichafu, nami nitawapokea. Nitakuwa Baba yenu nanyi mutakuwa wana na wabinti wangu. Ni mimi Bwana Mwenye Uwezo ninayesema.”
Explore 2 Wakorinto 6:17-18
4
2 Wakorinto 6:15
Kuna masikilizano gani kati ya Kristo na Shetani? Au mutu anayeamini yuko na ushirika gani na mutu asiyeamini?
Explore 2 Wakorinto 6:15
Home
Bible
Plans
Videos