1
2 Wakorinto 11:14-15
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Na jambo hilo si la kushangaza kwa maana Shetani mwenyewe anajisingizia kuwa malaika wa mwangaza. Basi si jambo la ajabu kama watumishi wake vilevile wanajigeuza kuwa watumishi wa haki. Kwa mwisho wao watalipwa kufuatana na matendo yao.
Compare
Explore 2 Wakorinto 11:14-15
2
2 Wakorinto 11:3
Lakini ninaogopa kwamba sawa vile nyoka alivyomudanganya Eva kwa werevu wake, mawazo yenu vilevile yasipotoshwe hata mupate kupoteza uaminifu na ukamilifu wenu kwa Kristo.
Explore 2 Wakorinto 11:3
3
2 Wakorinto 11:30
Kama ikinipasa kujivuna nitajivuna kwa ajili ya uzaifu wangu.
Explore 2 Wakorinto 11:30
Home
Bible
Plans
Videos