Inafaa wasaidizi wa kanisa wakuwe kila mutu na muke mumoja tu, na wanapaswa kuwa watu wenye kuongoza vizuri watoto wao pamoja na jamaa zao. Wasaidizi wanaotumika vizuri kazi zao, wanajiheshimisha, na wanaweza kutangaza kwa uhodari habari za imani tunayokuwa nayo katika kuungana na Kristo Yesu.