1
1 Wakorinto 3:16
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Hamujui hakika kuwa ninyi ni hekalu la Mungu na kuwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu?
Compare
Explore 1 Wakorinto 3:16
2
1 Wakorinto 3:11
Kwa maana hakuna mutu anayeweza kuweka musingi mwingine pahali pa ule uliokwisha kuwekwa, ni kusema Yesu Kristo.
Explore 1 Wakorinto 3:11
3
1 Wakorinto 3:7
Hivi yule anayepanda na yule anayenyweshea maji, wote si kitu; Mungu ndiye anayekuwa wa lazima kwa maana ni yeye anayeotesha mbegu.
Explore 1 Wakorinto 3:7
4
1 Wakorinto 3:9
Kwa maana sisi tunashirikiana na Mungu katika kazi, na ninyi ni shamba la Mungu. Vilevile ninyi ni majengo ya Mungu.
Explore 1 Wakorinto 3:9
5
1 Wakorinto 3:13
Lakini hali ya kazi ya kila mutu itaonekana wazi, kwa sababu Siku ile ya hukumu itaionyesha waziwazi. Kwa maana Siku ile itajitokeza katikati ya moto, na moto ule ndio utakaopima na kuonyesha hali ya kazi ya kila mutu.
Explore 1 Wakorinto 3:13
6
1 Wakorinto 3:8
Yule anayepanda na yule anayenyweshea maji wote ni sawa; naye Mungu atamupa kila mutu mushahara wake kufuatana na kazi aliyofanya.
Explore 1 Wakorinto 3:8
7
1 Wakorinto 3:18
Mutu yeyote asijidanganye mwenyewe. Kama mutu fulani kati yenu akijizania kuwa mwenye hekima ya kidunia, ajifanye kama mupumbafu kusudi apate kuwa na hekima ya kweli.
Explore 1 Wakorinto 3:18
Home
Bible
Plans
Videos