1
1 Wakorinto 14:33
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
kwa maana Mungu hataki sisi tuishi katika fujo, lakini katika amani. Sawa vile inavyokuwa desturi katika makanisa yote ya watu wa Mungu
Compare
Explore 1 Wakorinto 14:33
2
1 Wakorinto 14:1
Mujikaze mukuwe na upendo. Vilevile mutamani sana kupata zawadi za Roho, hasa zaidi zawadi ya kutabiri.
Explore 1 Wakorinto 14:1
3
1 Wakorinto 14:3
Lakini yule anayetabiri anasema na watu maneno ya kuwajenga katika imani, kuwatia moyo na kuwatuliza.
Explore 1 Wakorinto 14:3
4
1 Wakorinto 14:4
Yule anayesema kwa luga ya ajabu anajenga imani yake mwenyewe, lakini yule anayetabiri anajenga imani ya kanisa zima.
Explore 1 Wakorinto 14:4
5
1 Wakorinto 14:12
Hivi vilevile kufuatana na vile munavyotamani sana zawadi za Roho, mujikaze kupata kwa uwingi zile zinazoweza kujenga kanisa katika imani.
Explore 1 Wakorinto 14:12
Home
Bible
Plans
Videos