1
1 Mambo ya Siku 29:11
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ukubwa ni wako, ee Yawe, una nguvu, utukufu, ushindi na mamlaka. Vyote vinavyokuwa mbinguni na katika dunia ni vyako. Ee Yawe, ufalme ni wako, nawe umetukuzwa, uko mukubwa juu ya vitu vyote.
Compare
Explore 1 Mambo ya Siku 29:11
2
1 Mambo ya Siku 29:12
Utajiri na heshima vinatoka kwako, vyote unavitawala. Uwezo na nguvu viko katika mukono wako, nawe unawatukuza wale unaowapenda, na kuwaimarisha wote.
Explore 1 Mambo ya Siku 29:12
3
1 Mambo ya Siku 29:14
“Lakini, mimi ni nani, na watu wangu ni nani, hata tuweze kutoa kwa mapenzi yetu hivi? Kwa maana vitu vyote vinatoka kwako, tumekutolea vitu vinavyokuwa vyako wewe mwenyewe.
Explore 1 Mambo ya Siku 29:14
4
1 Mambo ya Siku 29:13
Sasa, ee Mungu wetu, tunakushukuru na kusifu jina lako tukufu.
Explore 1 Mambo ya Siku 29:13
5
1 Mambo ya Siku 29:10
Halafu Daudi akamutukuza Yawe mbele ya mukutano wote, akisema: “Utukuzwe milele na milele, ee Yawe, Mungu wa baba yetu Israeli.
Explore 1 Mambo ya Siku 29:10