1
Warumi 10:9
Swahili Revised Union Version
Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka.
Compare
Explore Warumi 10:9
2
Warumi 10:10
Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu.
Explore Warumi 10:10
3
Warumi 10:17
Basi imani, hutokana na kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo.
Explore Warumi 10:17
4
Warumi 10:11-13
Kwa maana andiko lanena, Kila amwaminiye hatatahayarika. Kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Mgiriki; maana yeye yule ni Bwana wa wote, mwenye ukarimu mwingi kwa wote wamwitao; kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka.
Explore Warumi 10:11-13
5
Warumi 10:15
Tena wahubirije, wasipopelekwa? Kama ilivyoandikwa, Ni mizuri kama nini miguu yao wahubirio habari ya mema!
Explore Warumi 10:15
6
Warumi 10:14
Basi wamwiteje yeye wasiyemwamini? Tena wamwaminije yeye wasiyemsikia? Tena wamsikieje pasipo mhubiri?
Explore Warumi 10:14
7
Warumi 10:4
Kwa maana Kristo ni mwisho wa sheria, ili kila aaminiye ahesabiwe haki.
Explore Warumi 10:4
YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy
Home
Bible
Plans
Videos