YouVersion Logo
Search Icon

Warumi 10:11-13

Warumi 10:11-13 SRUV

Kwa maana andiko lanena, Kila amwaminiye hatatahayarika. Kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Mgiriki; maana yeye yule ni Bwana wa wote, mwenye ukarimu mwingi kwa wote wamwitao; kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka.

Free Reading Plans and Devotionals related to Warumi 10:11-13